iqna

IQNA

sheikh al hadi
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mufti wa zamani wa Tanzania alisisitiza haja ya Waislamu kuimarisha umoja wao ili kuweza kukabiliana na kuzima njama na njama za adui.
Habari ID: 3477692    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/06

Shehe Mkuu wa Ahul Sunna, Dar es Salaam, Tanzania
Sheikh Mussa Salim Al Hadi , Shehe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Tanzania amehutubu katika hadhara ya Mashia na kusema Imam Hussein AS ni wa Waislamu wote duniani na kuadhimisha Ashura ni katika dhihiriso la nembo za Allah.
Habari ID: 3470614    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/15